Ni Siri Kuu - The Great Mystery

Ni Siri Kuu - The Great Mystery
"Wakati ule Yesu akajibu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili, ukawafunulia watoto wachanga. Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyopendeza mbele zako.

Ijumaa, 4 Machi 2016

MTAZAMO CHANYA UNAOZALISHA (POSTIVE AND REPRODUCTIVE VIEW)

MTAZAMO CHANYA UNAOZAA

Maswali 2 muhimu ya kujiuliza

1. Una nini ( what do you have) swali hilo aliulizwa Musa
2. unaona nini (waha do you see) swali hilo aliulizwa Yeremia

unachoona ndio hatua ya kwanza ya mafanikio yoyote, maana huwezi kufanikiwa nje ya kile unachoona

ulichonacho, ni nyenzo ya kufikia maono, unacho ili kikusukume kukupeleka kwenye maono yako

kutambua ulichonacho nia matokeo ya mahitaji ya maono. maono yakiwa ndani yako hudai, na yanapodai ndipo nyenzo iliyoko ndani yako inapojiibua ili kuyafanya hayo maono yafikiwe

Nikuache na changamoto hii

Unaona nini (what do you see)
Una nini ( what do you see)



Kunihusu

Picha yangu
"Wakati ule Yesu akajibu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili, ukawafunulia watoto wachanga. Naam, baba , kwa kuwa ndivyo ilivyopendeza mbele zako. (Ni Siri Kuu)

Tafuta katika Blogu Hii