Ni timu ya Injili ya Kikuhani, inayojishughulisha na huduma mbalimbali za ufalme wa MUNGU. lengo ni kuwasaidia watu kumtumikia MUNGU kwa kiwango alichowakusudia, pia ni kuwatangazia watu habari za ufalme wa MUNGU, kuwafanya waamini na kuwafundisha ili wajue. chini ya maono hayo kauli mbiu yetu ni "Mjue sana MUNGU ili uwe na amani" na katika huduma tunaamini kuwa kuna "siri kuu"
HUDUMA INA KAMATI TANO
1. KGT Hazina
2. KGT Production
3. KGT Utatu Mtakatifu
a) Injili
b) Maombi na maombezi
c) Ushauri na maelekezi
4. KGT Praise and Worship
5. KGT Habari na Mawasiliano
Chini ya kamati hizi, huduma zote hufanyika na kukamilishwa, kila mtumishi huwa katika kamati flani, kamati zote hufanya kazi kwa ushrika. mawasiliano ni kupitia 0752165609, 0765129960, email gkazili@yahoo.com, ukurasa wa face book- Kuhani Gospel Team
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni